❤️❤️SALMA WANGU❤️ :02

           

MTUNZI:::: Malkia Osam

Wasp 0710066699

SEHEMU YA 02

   Sky Alishikwa Mkono na Mwanadada ambae Hataa Hajawah Kumuona wala hamtambui Dada Huyo Alikua anatabasam kama Hajari Hali ya Sky Wala Machozi yake 

   "Kwahy huwezi Kunyenyuka Hapo mpk nikibebe Au??" Dada Uyo aliuliza sky Ndo kama Alizinduka sàsa Alipozama "Ww nani" Ilibidi aache Kulia Tena aulize "Unainukaa au Utabak Unaniuliza Uliza Hayo Maswali Embu Inuka Bana" Heee Sky Akabak Hajui Tena ainuke Akae Au Aulize Haelewi Huyu nani na Kwanini anamuongelesha Kama Mtu anaemjua Sana Akili Yake Ikamwambia Itakua Walishakutana Mahali ILa Kamsahau lbd Au aliwah kumtibu Mana Anasaidia Watu Wengi sana Ilibidi ainuke Pale Chini Yule Dada akaita Boda Sky akazidi Kushangaa Hata La Kusema Akakosa "Unaanza Kukaa Au Nikae Mimi" Mwanadada Akauliza "Tunaenda wapi" Ikabidi Sky Aulize "Nakupeleka Sehem ambayo Hautalia Wala Kuhuzunika Nakupeleka Mbali na Hapa Unakaa Au Tunaendelea Kubishana??" KWA Upole Hakua Hata anajua Cha Kufanya KWA Wakat Huo Sky Alipanda Kwenye piki Piki asijue Hata Lipi ni Lipi KWA Wakat Uwo akili yake Iliacha Kufanya Kazi KWA Muda Yule Dada Akamuelekeza Boda Mitaa ya Kwenda Na Wakafika Mitaa Ilionekana Ni Uswahilini Kidogo  Wakafika Kwenye Nyumba Ya Kawaida Dada Yule akalipa akamshika Mkono sky Na Wakaingia Ndani Sky Alikua anafata Tu Hajui Lipi ni Lipi na Kwanini Anaenda  Uko 

      Dada Huyu ambae Hata Mimi ckumjua Ni nani KWA Wakat Huo Alikua Na Chumba Kimoja Kapanga Uswahilini Tu Chumba chake ndani Kipo vzr Yaan Kitanda sofa za Kisasa Tv  Na KILA Kitu alijitosha Kw Kiasi chake Alikua Bint wa Miaka 26 Tu  

  "karibu Hapa Ndo napowwka Fuvu langu Mwaya" Sky Alijikuta anatabasam Mana Huyo dada anaongea kama Watu wanaojuana Mda Mrefu Kumbe wap "Heee Umetabasam Haya Nenda Kaoge KWanza Uje Hapa Alafu Nijitambulishe Usije Hisi Mimi Chinja Chinja Buree" yule Dada aliongezea 

   Sky akaoneshwa Pa Kuongea Bafu Lipo Nje Ya Nyumba   "Hee Mbona wamejazana Hvyo mlangoni Pa Kuongea Napita wapi" Sky Baada ya Kuona Wamama Wamekaa Karibu kabisa Na Mlango wa Bafu Ikabidi Aulize "We waluke Luke hapo kaoge Watakupisha Wenyew" 

  "mmmh Hapana Siwezi"  " Hee Kwahy Unataka Kulala Hvyo hvyo BASI Subir watoke wakiingia Kulala We Utaenda Kuoga"  "Kwani Nalala Hapa"   "Unaogopa Au" "mh" 

  Hayo yalikua Maongez ya sky na Dada Huyo Alikua Mcheshi na Muongeaj Kiasi Kwamba Hata Sky alikuta anamzoe na Kuona Kama Wanaojuana Tu 

  Walipiga sana Stor Mpk sky Alijikuta anasahau Hata Yaliotokea Mda Mchache Uliopita Mwanadada Alikua na Stor Nyingi za Mtaan za Kuchekesha Mambo ya Uswahilini Yote akamuhadisia mpk sky akapitiwa Usingiz bila Hata Kwenda Kuoga Mwanadada Akamlaza Vizur "Maskin kaka wa watu Handsome mwenyew Afu anakatiliwa Dunia Ya Mapenz Inakiza Sana Mapenz Ni Ujinga Ambao Shule Yake Haijapatikana Ooppsss Ni UJINGA tu🤔" Mwanadada Alijiongelea Uku akimtazama Usoni Sky Wakat Huo Sky Akiwa Kalala Hana Analojua 

 ITAENDELEA.......BONYEZA HAPA KUPATA SEHEMU INAYO FUATA

No comments

Powered by Blogger.