❤️❤️SALMA WANGU❤️❤️ :04

                            

 MTUNZI:::: Malkia Osam

Wasp 0710066699

SEHEM YA :04 

  Sky Alitoa macho asielewe Ikabidi dada Yule acheke Tena Akasema "Mi nataka Tu Uwe Rafk Yangu inatosha Ckujui hunijui lkn Hali nliyokuona Nayo pale wala haikunipendeza usingeweza Kuinuka pale lbd Sijui ungekaa pale mpk sangp Nliwah kupitia hali kama ile nliona Dunia sio Yangu mapenzi sio Yangu pumzi zilikarbia kunikata ile Ck ckuona mbele Palikua na Giza na nlkaa Sehem ile Mpk nlipokuja kuzinduka mwenyew hakuna alonishika mkono wala kuniinua Nlpokuona Wewe Niliamin Mapenzi hayana Mwenyew wala Jinsia nlkumbuka Siku yalivyonikuta mimi nilikataliwa Mbele Ya Watu KILA mtu alishuhudia machozi Na kilio changu lkn hakuna aliejali Hivyo sikutaka Wewe upitie hali kama ile Ndo mna nilikuja Kukushika mkono Utoke pale Nilitaman kuinuliwa lkn hakuna alieniinua mie nilihisi we pia unataka Kuinuliwa pale Hivyo nilikuja kukuinua pale Chini Hivo nilifanya Kosa??"" Dada Uyu aliongea huku machozi yakimtoka akionesha kabisa Yalishamkuta kama ya Sky Pia Sky alimkumbatia Bila Kusema Kitu  "Unaitwa Nani" Sky alimuuliza Bint Uyo  "Naitwa SALMA" 

   Ndio Ni salma,, Salma Bint wa Miaka 26 Tu Akiishi Mwenyew Salma Ni Bint mchachalikaj mjasiliamal Wengi huita mpambanaji anajishughulisha Na Biashara ndogo ndogo za Ujasiliamali Hutengeneza Vitu vya asili na Kuuza Lkn pia huuza Bidhaa zake Online pamoja Na Nguo za wadada Viatu Nk anaishi mwenyew hana Boyfriend Baada ya Kuachana na Boyfriend wake Mwaka Mmoja Uliopita Elimu yake Ni 4m4 Felia Hana Mtoto wala Hajawah Kuolewa 

Ndo kwanza kakutana Na Mkaka ambae hamjui ILa Tu kaamua kumsaidia KWA Sababu Tukio lililompata Ye Pia Liishamkuta Na akaamua Kuachana Kabisa na Mapenz akajikita katika Biashara zake Na sàsa anaendesha maisha yake Huyo Ni salma Mwanamke Asie na matatizo na Mtu naYupo san Bize naMaisha Yake Kuliko ya Mtu mtaan wanasema analinga Sana  Hana Mda na Wanaume Wala mwanaume Hajali Chochote wla Kuwaza kuhusu Mapenz Sàsa Kakutana Na Sky ambae Anakidonda Kibichiii Kabisa Kutoka KWA Marry

BONYEZA HAPA KUPATA SEHEMU INAYO FUATA

No comments

Powered by Blogger.