❤️❤️SALMA WANGU❤️❤️ :03

MTUNZI:::: Malkia Osam

Wasp 0710066699

SEHEMU YA ::03 

 Mwanadada Akamlaza Vizur Sky Kisha nae akalala KWA Kutizama Miguu ya Sky(Mzungu wanne) 

  Wa Kwanza Kuamka Alikua Ni Bint akaandaa Chai Kisha Maji akapekeka Bafuni akanunua na Mswak Mpya KWA Ajili Ya Mgeni wake Kisha akamuamka Mgeni wake Sky Alipoamka Alishtuka sana Akauliza "Hivi nmelala Hapa" "Ulitaka Ukalale wapi Embu Amka Ukaoge Tuje Kunywa Chai" akajibiwa na Mwenyej wake "Kwani sangp" Sky Akauliza "Sa Tatu Hii"  "Oooh Mungu wangu Nmechelewa hata na Kazini Hivi Kwanini Usingeniamsha Mapema" Sky alilalamika  "Ulinipa Taarifa au mi Naota Tu Au mi Ni Jini Kujua Nitajua Taarifa zako Zote??" BASI Bint akamshushua 

   Sky akatoka Aende Kuoga Asubuhi Ile Wamama Kibao washajazana karibu na Mlango wa Bafuni "mh" Sky aliishia Kuguna Tu Mana Macho ya Wote yalitua Usoni kwake Hata Kutembea akaanza Kujikanyaga Lkn akajikaza Mpk kuingia Bafuni "Mh Shost leo kavusha" "Hehehehehe Chezea Upwiru wewe" "Na Anavyojikutana Maria Sàsa Mbona Leo Kaenda Kutàfuta wa Kumkuna Hehehee" Hayo ni baadh ya maneno aliockia Akiwa Bafuni "Mh Mbona Kazi" Alibak Anajisemea Tu Mwenyew 

  Aliporudi ndani Ikabidi ampgie Cm rafika Ake Wa Karibu sana Allan Akampa Taarifa kuwa hatofika kazini Baada Ya Chai na Stor za hapa Na Pale Lkn Sky Akabak Kushangaa Bint Uyu hajagusia Kabisa Swala La Kuuliza Kwanini Alikua pale au kutaka Kujua Kwanini Sky Alikua Analia Vile walaa Bint Uyo Hakugusia Kabisaa   "Hivi haya Ndo maisha Mnayoishi uku" sky aliuliza "Yapi" "Si hayo we Unaona sàwa Kabisa Asubuhi Asubuhi Watu ameshaweka Vikao Tena chooni aah"  Sky alilalama "Aah achana Nao KILA Mtu ana mfumo wake Wa maisha"  

       Sky alimsogelea Sana Yule Dada Akamtazama Usoni Kisha akamuuliza "Unanipenda"??  Badala Ya Jibu Dada Huyo alicheka sanaa alicheka Mpk sky akaogopa alicheka Mpk akapaliwa  Sàsa Sky Akabak anamtazama Tu Hajui Tena afanye nini Baada Ya Kuchekaa Akauliza " Unavyoniangalia Mimi niwakukupenda Wewe"???  "Sàsa Kwanini Nipo hapa" Sky aliuliza  "Oke Nataka Unitumie Nani Nkutumie"🙄🙄 Sky akatoa Macho asielewe Nini anamaanisha Binti Huyo

 JE Bint Uyo ni nani na Anataka nini KWA Sky 

  ITAENDELEA...... BONYEZA HAPA KUPATA SEHEMU INAYO FUATA

No comments

Powered by Blogger.